Jukwaa la Michezo
TP Mazembe yatupwa nje ya mashindano ya klabu bingwa Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:55
Klabu ya soka ya TP Mazembe kutoka DRC, imetupwa nje ya mashindano ya kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika. Somalia na Sudan Kusini, nazo zimefuzu katika michuano ya bara Afrika, mchezo wa soka kwa wachezaji wasiozidi miaka 17.