Jukwaa la Michezo
Ons Jabeur ashindwa kunyakua taji la Wimledon baada ya kulemewa na Elena Rybakina
Imechapishwa:
Cheza - 23:47
Elena Rybakina kutoka Kazakhstan ndio bingwa wa mwaka huu wa mashindano ya mchezo wa Wimledon nchini Uingereza, kwa upande wa wanawake, baada ya kumshinda Ons Jabeur raia wa Tunisia kwa seti za 3-6, 6-2, 6-2.Tunachambua kwa kina.