Jukwaa la Michezo
Michuano ya kuwania taji la wanawake barani Afrika yaanza nchini Morocco
Imechapishwa:
Cheza - 20:23
Miongoni mwa yale utakayoyasikia ni pamoja na kuanzia kwa michuano ya soka kuwania taji la Afrika kwa upande wa wanawake nchini Morocco.Uganda, inawakilisha ukanda wa Afrika Mashariki.Ratiba ya leo: Morocco vs Burkina Faso.Nini nafasi ya Uganda kwenye michuano hii ?