Jukwaa la Michezo
Wydad Casabalanca yanyakua taji la klabu bingwa barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Leo kwenye Jukwaa la Michezo, tunakuletea uchambuzi wa michuano ya soka kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika, michuano ya CECAFA kwa upande wa wanawake, mashindano ya mchezo wa Tennis, kuwania taji la French Open, miongoni mwa matukio mengine.