Jukwaa la Michezo
Vlabu vya soka barani Ulaya vyatishia kuwazuia wachezaji wa Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 20:17
Miongoni mwa matukio tuliyokuandalia ni pamoja na:-Vlabu vya soka, barani Ulaya vyatishia kuwazuia wachezaji wa Afrika kurudi nyumbani kushiriki kwenye michuano ya mataifa bingwa barani Afrika nchini Cameroon, kuanzia mwezi Januari.Kirusi kipya cha Omicron chaanza kutatiza mechi za ligi kuu nchini Uingereza.