Jukwaa la Michezo
Michuano ya soka kufuzu kwenye fainali ya kombe la dunia mwaka 2022
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Wiki hii mataifa ya Afrika, yapo mbioni kusaka tiketi ya kufuzu kwenye kombe la dunia nchini Qatar mwaka 2022 katika mchezo wa soka. Tunachambua hili na mengine mengi.