Jukwaa la Michezo
Mashindano ya kukimbiza magari yapamba moto nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 23:51
Mashindano ya dunia ya kukimbiza magari, Kenya Safari Rally, yaanendelea kupamba moto, tutakuletea pia ripoti kutoka Rwanda kuhusu bingwa wa soka nchini humo na michuano ya nusu fainali, kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika.