Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Naomi Osaka ajiondoa kwenye michezo ya French Open

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tunayajadili Jumamosi hii kwenye Jukwaa la Michezoni hatua ya Naomi Osaka kujiondoa kwenye michezo ya mwaka huu ya Tennis ya French Open, lakini pia maandalizi ya michezo ya Olimpiki yatakayofanyika kati ya Juni na Julai jijini Tokyo nchini Japan.

 Naomi Osaka mchezaji wa Tennis kutoka Japan
Naomi Osaka mchezaji wa Tennis kutoka Japan REUTERS - CHRISTIAN HARTMANN
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.