Habari RFI-Ki
Afrika yaendelea kutumia chanjo ya AstraZeneca iliyositishwa na mataifa kadhaa barani Ulaya
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Mataifa mbalimbali barani Afrika yanaendelea na kampeni ya kutoa chanjo aina ya AstraZeneca kwa raia wake, licha ya baadhi ya mataifa ya bara Ulaya kuisitisha kufuatia ripoti kuwa inasababisha kuganda kwa damu.Hata hivyo, Shirika la afya duniani WHO inasema chanjo hiyo ni salama. Maoni yako ni yepi kuhusu hili ? Je, unahofu yoyote kuhusu chanjo hii ?