Changu Chako, Chako Changu
Kumbukumbu ya historia ya mwanaharakati mtetezi wa uhuru nchini DRC Emery Patrice Lumumba
Imechapishwa:
Cheza - 19:58
Katika Makala haya, mwanahabari wako Ali Bilali anarejelea historia ya mwanaharakati mtetezi wa Uhuru wa DRC Emery Patrice Lumumba aliezaliwa Julay 2 1925 alifariki Januari 17 mwaka 1961.
Matangazo ya kibiashara
Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali