Changu Chako, Chako Changu
Utamaduni wa kupenda kujifunza lugha na msanii kutoka Burundi Mistachampagne
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na vijana wanafunzi na waalimu wa lugha ya kifaransa kuangazia utamaduni wa kujifunza lugha hususan lugha ya Kifaransa, wakati kwenye kipengele cha Muziki amempokea mwanamuziki kutoka nchini Burundi Mistachampagne ambae anazuri jiji la Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki.
Matangazo ya kibiashara
Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako asiependa makuu @billy_bilali