Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Tamaduni za watu wa Katanga katika uchimbaji wa madini na msanii Masauti kutoka nchini Kenya

Imechapishwa:

Ni furaha kubwa kukutana nawe kwa mara nyingine tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nitaungana na mwenzangu DENISE MAYO kukujuza kuhusu tamaduni za watu wa huko Katanga katika uchimbaji wa madini, kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba wa Alliance francaise za Ukanda na Institut Français ya Lubumbashi, kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Kutoka nchini Kenya Mohammed Ali Said, anaefahamika sana kama Masauti. Mimi ni Ali Bilali

Mgodi wa shaba Kolwezi, Kusini Mashariki mwa DRC
Mgodi wa shaba Kolwezi, Kusini Mashariki mwa DRC AFP/GWENN DUBOURTHOUMIEU
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.