Changu Chako, Chako Changu
Historia ya siku ya kupinga dhulma dhidi ya wanahabari na utoaji wa tuzo ya Ghislaine Dupont
Imechapishwa:
Cheza - 19:53
Leo Octoba 29 kwenye Makala Changu chako Chako Changu tunazungumzia kuhusu historia ya Siku ya Kimataifa ya Kukomesha Kutokujali kwa Uhalifu Uliotendwa dhidi ya Wanahabari ambayo huadhimishwa kila Novemba 2. Na kwenye le parler francophone kama kawaida nitakujuza nini kinachojiri kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi, Dar es Salaam na Arusha, na kwenye Muziki ninakuletea mwanamuziki Jay Melody kutoka nchini Tanzania. Bienvenue et Bon Dimanche, yaani Karibu na Jumapili njema.