Abu Omar mwanamuziki wa zamani wa muziki wa Densi atambulisha kitabu chake
Imechapishwa:
Cheza - 20:00
Ni furaha kukutana nawe kwa mara nyingine tena Jumapili hii katika Makala Changu Chako Chako Changu, ambapo leo nakuletea Msanii wa kitambo wa bendi kutoka Afrika mashariki Abu Omar ambae ameandika kitabu kuzungumzia historia ya muziki wa densi. Kwenye le parler francophone nakupa ratiba ya shughuli kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi, na Dar es salaam, na kwenye muziki nakuletea muziki wa Singeli kutoka nchini Tanzania. Mimi ni mtangazaji asiependa makuu Ali Bilali. Binevenue.
Abu Omar akiwa studio za RFI na mtangazaji Ali Bilali. Usikosi pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali