Wapemba wa Kenya wapewa vitambulisho vya uraia baada ya kutambuliwa
Imechapishwa:
Cheza - 19:51
Ni furaha kubwa kwangu kukutana nawe kwa mara nyingine tena Jumapili ya leo katika Makala changu Chako Chako Changu, ambapo hivi karibuni rais wa Kenya aliwapa vitambulisho watu kutoka kabila la wapemba miezi kadhaa baada ya kuwaidhinisha kuwa miongoni mwa makabila ya wakenya, na kwenye le parler francophone nitakuletea ratiba ya shughuli kwenye Alliance francaise na Nairobi na Institut francais ya Lubumbashi, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Ferre Golla Mimi ni Ali Bilali
Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako katika mitandao ya kijamii ya facebook na Instagram @billy_bilali