Changu Chako, Chako Changu
Sehemu ya pili ya Makala kuhusu Tamasha la Marahaba Music Expo jijini Bujumbura
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Naam mskilizaji wa RFI Kiswahili na mpenzi wa Makala changu chako karibu katika sehemu hii ya pili ya Makala kuhusu tamasha la Marahaba Music EXPO lililofanyika huko jijini Bujumbura nchini Burundi ambapo RFI Kiswahili iliwakilishwa nami Ali Bilali mtangazaji wa maswala ya Historia sanaa na Utamaduni. Kumbuka sehemu ya kwanza nilikueleza namna tamasha lilivyokuwa na kuzungumza na wadau mbalimbali akiwemo Mkurugenzi wa Tamasha la Marahaba Music Expo sasa ambatana nami katika sehemu hii ya pili.