Changu Chako, Chako Changu
Tamasha la kukuza utamaduni wa watu kutoka kabila la bashi huko Bukavu
Imechapishwa:
Cheza - 20:00
Makala haya yanakuletea tamaduni za watu kutoka kabila la washi kupitia tamasha lililoandaliwa ili kuboresha na kukumbusha vizazi vya sasa kuhusu tamaduni zao, hii ikiwa ni awamu ya kwanza ambapo itaendelea kuhusisha pia makabila mengine lengo kuu hasa ni kudumisha mila na tamaduni. Kupitia Makala haya Ali Bilali amezeungumza na Wakili Placide kueleza zaidi kuhusu tamasha hilo. Usikosi pia kutufollow kwa Instagram @billy_bilali