Changu Chako, Chako Changu
Changamoto zilizopo baada ya kurejeshwa kwa vinyago vilivyoporwa na msanii Mbosso
Imechapishwa:
Cheza - 19:57
Karibu katika Makala haya ya Changu Chako Chako Changu, ambapo leo nakuletea changamoto zinazoendelea baada ya kurejeshwa kwa vinyago vilivporwa na kupelekwa Ulaya na Marekani, na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki Mbosso kutoka nchini Tanzania.