Changu Chako, Chako Changu
Makala kuhuus uandishi wa vitabu na Marcel Yabili na historia ya Bob Marley
Imechapishwa:
Cheza - 19:32
Makala haya Habari rafiki Ali Bilali amezungumza na Marcel Yabili kutoka Lubumbashi nchini DRC kuzungumzia kuhusu uandishi wa vitabu hususan kitabu chake Vraiment Congo une tribu. Amekuletea pia kumbukumbu ya hayati Bob Marley aliefariki Mei 11 miaka 48 iliopita.