Changu Chako, Chako Changu
Kurejeshwa kwa urithi wa Kiafrika na mabaki ya binadamu yaliotokana na ukoloni
Imechapishwa:
Cheza - 19:53
Ni Jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya ya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nakuletea makala kuhusu kurejeshwa sio tu kwa urithi wa Kiafrika bali pia mabaki ya binadamu yaliyotokana na ukoloni hususan huko DRC. Na kwenye kipengele cha le Palrer francophone tutaangazi ratiba za utamaduni Alliance francaise ya Nairobi na Dar es salaam, kweney muziki nitakuwa naye msanii chipukizi kutoka nchini Kenya anaitwa Lakijoh. Mimi naitwa Ali Bilali, Bienvenue et bon reveil