Changu Chako, Chako Changu
Historia ya mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Marekani Martin Luther King Junior
Imechapishwa:
Cheza - 20:05
Makala haya Changu Chako Changu Ali Bilali akishirikiana na mtangazaji mwenzake Victor Abuso, wanakuletea Historia ya mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Marekani Martin Luther King Junior aliezaliwa Atlanta, Georgia mnamo Januari 15, 1929 na kuuawa Aprili 4, 1968 huko Memphis, Tennessee. Na kwenye Muziki jumapili hii anakuletea mwanamuziki Arrow Boy kutoka nchini Kenya.