Changu Chako, Chako Changu
Siku ya kimataifa ya waalimu wa lugha ya Kifaransa na uzinduzi wa swahilipot Mombasa
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali ambae amerejea kutoka Mombasa, anakuletea sehemu ya pili ya makala kuhusu siku ya kimataifa ya waalimu wa lugha ya Kifaransa iliofanyika Mombasa nchini Kenya, pamoja na uzinduzi wa kituo cha swahilipot Mombasa na balozi wa Ufaransa nchini Kenya na Somalia Arnaud Suquet alieambatana na jopo lake huku kundi la Mijikenda Jazz Band likishusha burudani.