Changu Chako, Chako Changu
Expertise France yatoa mafunzo kuhusu usalama wa wavuvi Mombasa
Imechapishwa:
Cheza - 20:06
Karibu katika Makala haya ya Changu Chako Chako Changu, leo tunazungumzia kuhusu usalama wa wavuti katika mafunzo yaliotolewa na shirika la Expertise France huko Mombasa pwani ya Kenya, na kwenye kipengele cha le Parler Francophone Mkurugenzi wa Alliance France atatueleza ratiba walionayo juma hili na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki Sudi Boy msanii kutoka Mombasa, Mimi naitwa Ali Bilali Bienvenue.