Changu Chako, Chako Changu
Historia ya watu wa kabila la wataita na kifo cha mwanamuziki wa Rwanda Yvan Buravan
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Karibu kujiunga nami kwa mara nyingine tena katika Makala haya ya Changu Chako Chako Changu, ambapo leo nakuletea historia na tamaduni la kabila la wataita, na kwenye kipengele cha Muziki nitakuletea mwanamuziki Yvan Buravan ambae amefariki dunia juma hili huko nchini India. Mimi naitwa Ali Bilali. Bienvenue.