Changu Chako, Chako Changu
Kurejeshwa kwa mambo ya kale yalioporwa na wanajeshi wa Uingereza katika miaka ya 1887
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Karibu katika makala yetu ya leo Changu Chako Chako Changu, ambapo nitakuletea habari hii ya kurejeshwa kwa mambo ya kale yalioporwa na wanajeshi wa Uingereza katika miaka ya 1887 huko nchini Nigeria na kwenye Muziki nitakuletea Habari ya mwanamuziki Ferre Golla ambae hivi karibuni ameachiwa huru na mahakama nchini Ufaransa. Mimi naitwa Ali Bilali, Bienvenue.