Changu Chako, Chako Changu
Fahamu historia ya jiji la Bujumbura nchini Burundi
Imechapishwa:
Cheza - 20:08
Katika makala haya mtangazaji wako Ali Bilali mtaalamu wa maswala ya Historia kupitia idhaa ya Kiswahili ya RFI, anakuletea Historia ya jiji la Bujumbura nchini Burundi.