Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Nishati inachangia asilimia kubwa kwa ukuaji wa Uchumi wa mataifa

Imechapishwa:

Sekta ya Nishati ndiyo mhimili muhimu wa maendeleo ya taifa lolote lile, Mathalan takwimu zinaonesha, mahitaji ya juu ya umeme yameongezeka ambapo serikali ya Tanzania inasema kuwa muelekeo ni kuongeza katika Gridi ya Taifa MW 218.67 na kufikia MW 1,913.22 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2022/23.

Mashine nzito  za umeme zinazotumika katika eneo karibu na Bingham, Maine , Aprili 26, 2021,
Mashine nzito za umeme zinazotumika katika eneo karibu na Bingham, Maine , Aprili 26, 2021, AP - Robert F. Bukaty
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.