Pata taarifa kuu
Rwanda - Haki

Rwanda: Balozi wa Uingereza akana barua inayokosoa mpango wa Rwanda na Uingereza

Balozi wa Uingereza nchini Rwanda, Omar Daair, amekana kuandika barua iliotumwa kwa afisi ya mambo ya nje ya Uingereza, ikishauri Uingereza kusitisha mpango wake wa kuhamishia wahamiaji nchini Rwanda.

Rais wa Rwanda Paul Kagame na Waziri Mkuu wa uingereza, Boris Johnson katika Mkutano wa Uwekezaji wa Uingereza Afrika mjini London, Januari 20, 2020.
Rais wa Rwanda Paul Kagame na Waziri Mkuu wa uingereza, Boris Johnson katika Mkutano wa Uwekezaji wa Uingereza Afrika mjini London, Januari 20, 2020. AP - Eddie Mulholland
Matangazo ya kibiashara

Barua hiyo inatuhumu  serikali ya Rwanda kwa kuwa na história inayokandamiza haki za biandamu, kwa mjibu wa stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na wale wanaopinga mpango kati ya Rwanda na Uingereza

Balozi Daair, amesema barua hiyo aliandikwa na mtangulizi wake, miezi miwili kabla yake kuanza rasmi majukumu yake.

Mpango wa Rwanda na Uingereza kuwahamisha wahamiaji hadi nchini Rwanda umepingwa vikali na mashariki ya kutetea haki za binadamu kesi ikiwasilishwa mahakamani.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.