Pata taarifa kuu
KENYA-AFYA

Tatizo la msongo wa mawazo miongoni mwa vijana nchini Kenya

Takwimu za Shirika la afya duniani WHO linaonesha kuwa hali ya binadamu kujitoa uhai inachangia wingi wa vifo vya vijana wendu duniani wenye umri wa  kati ya miaka 15 hadi 29 chanzo kikubwa kikiwa ni msongo wa mawazo, visa ambavyo sasa vinaanza kushuhudiwa katika Kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.Mwandishi wetu Carol Korir alizuru huko Kwale na kutuandalia  taarifa ifuatayo.

Kijana mwenye msongo wa mawazo
Kijana mwenye msongo wa mawazo © AFP - Kola Sulaimon
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.