Pata taarifa kuu
UN-USHIRIKIANO

"Vita mpya baridi": Biden na Jinping wajaribu kutuliza hali ya mambo bila mafanikio

Akifungua Mkutano Mkuu wa 76, Jumanne hii, Septemba 21, Katibu Mkuu wa UN alielezea hofu yake kwamba ulimwengu umegawanyika katika kambi mbili tofauti. Hali ambayo, ikiwa itathibitishwa, inaweza kuwa mbaya zaidi kuliko kipindi cha Vita Baridi.

Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati wa hotuba ya Rais wa Marekani Joe Biden Septemba 21, 2021 huko New York.
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati wa hotuba ya Rais wa Marekani Joe Biden Septemba 21, 2021 huko New York. Getty Images via AFP - POOL
Matangazo ya kibiashara

Bila kuzitaja, Antonio Guterres alikuwa akiilenga China na Marekani. Rais wa Marekani na mwenzake wa China Xi Jinping walijaribu kutuliza hali mambo walipohutubia mkutano wa hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa.

“Hatutaki vita mpya baridi. Joe Biden alijibu mara moja hofu ya Antonio Guterres - na jamii ya kimlataifa - ambao wana wasiwasi juu ya kuongezeka kwa mivutano katika miezi ya hivi karibuni kati ya Marekani na China.

Rais wa Marekani anakiri: jukuhusu maswala kadhaa makubwa, kama tabia nchi, janga la Covid-19 na uharibifu wa nyuklia katika rasi ya Korea, suluhisho haziwezi kupatikana bila uratibu kati ya serikali hizi mbili. Lakini Joe Biden anaonya: Marekni kamwe hairuhusu nchi ndogo kuvamiwa. Mtu anafikiria mara moja mzozo wa Taiwan na China.

Hali tete

Saa chache baadaye, Xi Jinping alipanda jukwaani na kusema. Kama ilivyokuwa katika hotuba yake ya mwaka jana, rais wa China anajifanya kama muumini thabiti wa pande nyingi, akitaja haja ya mazungumzo na ushirikiano.

Joe Biden hayupo tena katika mchakato wa kuvunjika kwa Donald Trump, maneno ya nambari moja wa China yanaunga mkono yale ya mwenzake wa Marekani. Anadai pia haki ya China kuchukua nafasi yake kama nguvu kubwa, kikamilifu. Xi na Biden kwa hivyo walijaribu kutuliza hali ya mambo, lakini hali ilivyo inaonekana kuwa ni kitendawili.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.