SUDAN-USALAMA WA CHAKULA
Sudan: Watoto laki tano wanakabiliwa na utapiamlo
Mamia ya watu nchini Sudan wakiwemo watoto karibu nusu milioni, wanakabiliwa na utapiamlo uliosababishwa na hali mbaya ya chakuma, UN ikionya kuhusu kutokea kwa janga kibinadamu.Huyu hapa mwandishi wetu wa masuala ya Sudan James Shimanyula…
Imechapishwa:
Cheza - 01:39