Pata taarifa kuu
SOMALIA- NJAA

Somalia: Watu zaidi ya Milioni nane wapo kwenye hatari ya kabiliwa na baa la njaa

Nchini Somalia, watu zaidi ya Milioni nane wapo kwenye hatari ya kuendelea kukumbwa na baa la njaa kutokana na uhaba wa chakula unaosababishwa na ukame mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 40, na ambao umechangiwa na ukosefu wa mvua ya kutosha.

Wanawake wa Somalia wakikusanya na madumu yao kwa ajili ya kupata maji safi katika kambi ya shirika lisilokua la kiserikali, Aprili 9, 2017.
Wanawake wa Somalia wakikusanya na madumu yao kwa ajili ya kupata maji safi katika kambi ya shirika lisilokua la kiserikali, Aprili 9, 2017. REUTERS/Feisal Omar
Matangazo ya kibiashara

Hali hiyo pia imesababisha kupanda maradufu kwa bei ya vyakula katika taifa hilo la pembe ya Afrika.

Mengi zaidi na Mwandishi wetu  James Shimanyula.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.