Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mitazamo tofauti kuhusu sikukuu ya mwanamke duniani, mvutano wa kisiasa katika upinzani wa DRC
Imechapishwa:
Cheza - 19:43
Makala hii imeangazia sikukuu ya mwanamke duniani, changamoto na mafanikio ya mwanamke katika suala la maendeleo ya jamii barani afrika, lakini pia tumegusia mvutano wa kisiasa katika muungano wa vyama vya upinzani wa rassemblement nchini DRCongo, tangu kuteuliwa kwa Felix Tshisekedi kuwa mwenyekiti wa muungano huo, kule Nigeria kurejea nyumbani kwa rais Muhammadu Buhari, wakati kimataifa tumeangazia hatua ya rais Donald Trump wa Marekani kusaini upya sheria kuhusu wahamiaji toka mataifa kadhaa ya kiisilamu.