Pata taarifa kuu
UGANDA-ICC-ONGWEN-SHERIA

Fatou Bensuda akamilisha ziara yake Uganda

Kiongozi wa Mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya ICC Fatou Bensouda amemaliza ziara yake ya siku tano nchini Uganda.

Mwendesha mashtaka wa mahakama ya ICC Fatou Bensouda
Mwendesha mashtaka wa mahakama ya ICC Fatou Bensouda Reuters
Matangazo ya kibiashara

Fatou Bensouda amepata hakikisho kutoka kwa rais Yoweri Museveni ambaye amemwambia serikali yake itashirikiana naye kuhakikisha kuwa kesi dhidi ya Kamanda wa juu wa kundi la LRA Dominique Ongwen inafikishwa osini mwake.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.