Jukwaa la Michezo
Kwanini hamasa ya mchezo wa wapinzani wa jadi nchini Kenya umepungua?
Imechapishwa:
Cheza - 24:09
Gor Mahia imeishinda AFC Leopards kwa mabao 4-1 katika mchezo wa upande mmoja wa wapinzani wa jadi nchini Kenya. Hata hivyo msisimko wa soka nchini Kenya umepungua miaka ya karibuni kutokana na kukosekana kwa hamasa ya mchezo baina ya wapinzani wa jadi.Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi wa soka Bonface Osano na Aloyce mchunga kutathimini kwa kina.