Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya AFCON 2017 yaanza kunguruma nchini Gabon

Imechapishwa:

Makala ya 31 ya michuano ya soka kuwania taji la Mataifa bingwa barani Afrika AFCON, imeanza rasmi nchini Gabon. Wenyeji Gabon walianza sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea-Bissau, lakini Senegal wameanza vema baada ya kuwashinda Tunisia mabao 2-0.Tunakuletea uchambuzi wa kina kuhusu michuano hii.Soma uchambuzi wa kina:-

Mashabiki wa soka  wa Gabon
Mashabiki wa soka wa Gabon RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.