Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

AMISOM lawamani kufuatia ripoti ya UN kuhusu ubakaji wa wanawake na wasichana Somalia

Imechapishwa:

Ripoti iliyotolewa na shirika la kimataifa la Human Rights Watch imewatuhumu askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika huko Somalia AMISOM, kuhusika na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, wanawarubuni wanawake kwa kuwapa chakula kama msaada ili wafanye nao ngono, tuhma ambazo AMISOM imekanusha.

Baadhi ya wanajeshi wa kikosi cha Uganda wanaounda jeshi la AMISOM nchini Somalia
Baadhi ya wanajeshi wa kikosi cha Uganda wanaounda jeshi la AMISOM nchini Somalia Reuters
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.