Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Siasa za Ufaransa kuelekea Uchaguzi wa urais mwaka ujao

Imechapishwa:

Makala ya Wimbi la Siasa wiki hii tunaangazia siasa za Ufaransa hususan kati ya wagombea wa chama cha Republican, wanaotafuta tiketi ya chama hciho  kati ya Mawaziri Wakuu wa zamani François Fillon na Alain Juppé kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka ujao.

Wanasiasa François Fillon na  Alain Juppé wanaotafuta tiketi ya chama cha Republican nchini Ufaransa
Wanasiasa François Fillon na Alain Juppé wanaotafuta tiketi ya chama cha Republican nchini Ufaransa REUTERS/Philippe Wojazer/Vincent Kessler/Montage RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.