Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Uchaguzi mkuu nchini DRC giza nene latanda

Imechapishwa:

Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC mwaka huu kama mambo yangeenda sawa uchaguzi mkuu ungefanyika mwishoni mwa mwaka huu lakini hofu iliyopo miongoni mwa wanasiasa nchini humo ni kutofanyika kwa uchaguzi. Kujua kama uchaguzi huo utafanyika ama la unganna na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa.

Rais wa DRC, Josephu Kabila
Rais wa DRC, Josephu Kabila RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.