Wimbi la Siasa
Rais wa Zanzibar aapishwa na kuahidi kushirikiana na upinzani
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameapishwa na kuahidi kuwa atashirikiana na upinzani licha ya Chama cha CUF kususia uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20, 2016. Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kujua hatima ya Zanzibar..............