Wimbi la Siasa
Tanzania yapata Waziri Mkuu mpya baada ya kufanyika uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Tanzania imepata Waziri Mkuu mpya baada ya Bunge kuridhia uteuzi wa Majaliwa Kassim Majaliwa mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi uiofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli. Je Waziri Mkuu Majaliwa anakabiliwa na changamoto gani? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala haya ya Wimbi la Siasa.........