Wimbi la Siasa
Utafiti wa Taasisi ya Twaweza nchini Tanzania waibua mazito kuhusu uelewa wa wapiga kura kabla ya uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Utafiti uliofanywa taasisi ya TWAWEZA nchini Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani umebaini kuwa wapiga kura zaidi ya nusu miongoni mwa waliohojiwa hawajui tarehe kupiga kura katika uchaguzi huo. Ungana na Victor Robert Wile katika makala haya kujua undani wa utafiti huo nani ameongoza katika kura za maoni kwa watu waliohojiwa...............