Wimbi la Siasa
Uchaguzi wa wabunge nchini Burundi kufanyika katika mazingira magumu
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Uchaguzi wa wabunge na madiwani nchini Burundi wa Juni 29, 2015 unafanyika katika mazingira ambayo kisiasa wachambuzi wa siasa wanahoji kama uchaguzi huo utakuwa huru na wa haki. Fuatilia Makala haya ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile kujua undani wa kile kinachoendelea nchini Burundi....................