Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Makada wa CCM wajitokeza kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera katika kinyang'anyiro cha urais

Imechapishwa:

Wakati Tanzania ikitarajiwa kufanya uchaguzi wake mwezi Oktoba mwaka huu 2015, Chama tawala nchini humo CCM kikipuliza kipenga na katika hali isiyo ya kawaida makada wake wamejotokeza kwa wingi kuliko miaka ya nyuma. Hali hiyo inaacha maswali mengi na makala ya Wimbi la Siasa hii leo inaangazia kwa kina mchakato huo ndani ya CCM. Ungana na Victor Robert Wile kupata undani wa siasa za Tanzania kuelekea uchaguzi wa 2015...........................

Baadhi ya viongozi wa CCM
Baadhi ya viongozi wa CCM RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.