Wimbi la Siasa
Marekani na Cuba zaweka makubaliano ili kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Imechapishwa:
Cheza - 09:55
Marekani na Cuba zimekubaliana kuanza mchakato wa kuimarisha upya ushirikiano wa kidiplomasia uliokuwa umedorora kwa kipindi cha miaka 50 iliyopita. UNGANA NA Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kuangalia hatua hiyo ambayo haikutarajiwa na wengi.......