Wimbi la Siasa
Burkina Faso na mwelekeo wa kuundwa kwa serikali ya mpito kabla ya kufnyika uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Nchi ya Burkina Faso inakabiliwa na changamoto mbalimbli za kiuongozi baada ya kuondoka madarakani kwa rais Blaise Compaore. Je ni changamoto zipi na mambo gani muhimu yanyofanyika na kujiri huko nchini Burkina Faso? Ungana na Victor Robert Wile katika mkala ya Wimbi la Siasa......