Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Ziara ya rais wa Zimbabwe nchini China inalenga kuwakejeli viongozi wa nchi za Magharibi

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia kwa kina ziara ya rais wa Zimbabwe nchini China, ziara ambayo inalenga kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizi mbili kiuchumi.

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe akiwa na mwenyeji wake rais wa China Xi Jinping
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe akiwa na mwenyeji wake rais wa China Xi Jinping REUTERS/Diego Azubel/Pool
Matangazo ya kibiashara

Nchi ya Zimbabwe na China zinaushirikiano wa kihistoria kwakuwa katika miaka ya sitini nchin hiyo ilishiriki kikamilifu kuwasaidia wapigania uhuru wa Zimbabwe, safari hii rais Robert Mugabe anafanya ziara nchini humo kwa lengo la kuboresha ushirikiano huu.

Malengo ya ziara yamewekwa wazi kuwa ni pamoja na kuomba msaada toka katika taifa hili la pili kwa uimara wa uchumi duniani, je ziara hii itainufaisha Zimbabwe na kuwakejeli viongozi wa nchi za magharibi ambao wameiwekea vikwazo? Ungana nasi.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.