Pata taarifa kuu
Uingereza

Fabrice Mwamba kuanza tena mazoezi

Fabrice Muamba, amerejea tena kucheza soka baada ya kuanguka na kupoteza fahamu katika mchezo wa ligi kuu nchini Ungereza na timu ya Bolton Marchi 17 mwaka huu.

Fabrice Muamba.
Fabrice Muamba. Clive Brunskill/Getty Images
Matangazo ya kibiashara

Fabrice Mwamba amezungumza na kituo cha habari cha televisheni ya Marekani CNN kwamba alipokuwa likizo huko Dubai katika hoteli moja, na baadae kusikia watu wanacheza soka, na baadae nilijiunga nao na kucheza dakika kati ya 20 na 25.

Mchezaji huyo wa Uingereza mwenye asili ya DRCongo, amesema alijisikia faraja sana ambapo kwake ilikuw akama mazoezi. Fabrice mwamba mwenye umri wa miaka 21 amesema anataji kwamba Mwenyezi Mungu atamsaidia kurejea katika hali yake ya kawaida na kurejea tena uwanjani kama kawaida.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.