Leo ni siku ya kimataifa ya kushirikiana na wapalestina.Ni siku iliyotungwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1977 ili kutambua haki ya watu hao kuwa taifa huru na yenye mamlaka kamili ya kujitawala.Mwaka huu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon anataka Israel kuacha ubomoaji wa makaazi ya Palestina katika ukanda wa Gaza kama njia mojapowapo ya kutambua haki za Palestina.Je unahisi kuwa haki za Palestina zinaheshiwa na dunia imefanya vya kutosha kusaidia kutatua mgogo wake na Israel ?Na Edmond Lwangi Tcheli
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13