Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Koffi Annan ataka iundwe serikali ya mpito nchini Syria

Imechapishwa:

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa wa usuluhishi wa mgogoro wa Syria, Koffi Annan ametaka kuundwe serikali ya mpito ili kukabiliana na mgogoro huo lakini upande wa upinzani unasema hautakuwa tayari kufanya hivyo mpaka Rais Bashar AL Assad ang'oke madarakani. Makala ya Wimbi la Siasa leo hii inaangazia kwa kina suala la mgogoro wa Syria.

Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.